Sauti Sol wamchezesha Barack Obama



Kundi la Sauti Sol lilijipatia ujiko mwingi baada ya juzi kutumbuiza kwenye hafla iliyohudhuriwa na Rais wa Marekani Barack Obama na mwenzie wa Kenya, Uhuru Kenyatta.

Toni Braxton and Babyface to perform in Africa

Legendary R&B diva, Toni Braxton and Babyface will be performing in South Africa and Zimbabwe between August 28 and September 3.

Ommy Dimpoz na Shilole wapata shavu pamoja Marekani mwezi September

Huu sio mwaka mbaya kwa Ommy Dimpoz na Shilole, ambao kalenda zao bado zinaonesha watakuwa na show kadhaa za kimataifa kabla 2015 kuisha.

Big Brother Africa kutofanyika mwaka huu?

Kuna uvumi uliosambaa kuwa reality Tv show ya Big Brother Africa (BBA) ambayo huziunganisha nchi mbalimbali za Africa haitafanyika mwaka huu.

Zari the Bosslady aonesha ujauzito wake ulivyokua kwa mipasho ya haja!

Zari The Bosslady ameshakuwa mswahili na huenda Taarab ikawa ni muziki anaousikiliza sana kwa sasa. Hiyo imeonekana kwenye picha nne alizopost (moja akiwa na mchumba wake, Diamond Platnumz) kwenye mtandao wa Instagram kuonesha jinsi ujauzito wake ulivyokuwa mkubwa. Tazama picha hizo na kile alichoandika.

Bobbi Kristina afariki dunia, familia yathibitisha

Mtoto wa Bobby Brown na marehemu Whitney Houston, Bobbi Kristina Brown amefariki dunia Jumapili July 26, ikiwa ni miezi sita imepita toka akutwe amedondoka bafuni hajitambui.

Sunday, 26 July 2015

Diamond aleta tuzo nyingine tanzania

Wiki moja tu baada ya kushinda tuzo ya mtumbuizaji bora wa Afrika kwenye MTV MAMA, Diamond Platnumz ameshinda tuzo nyingine kubwa ya Afrika.

Diamond, Alikiba, Vanessa, Jaydee, Ommy Dimpoz, Mpoto watajwa kuwania tuzo za AFRIMMA

Majina ya wasanii watakaowania tuzo za African Muzik Magazine Awards AFRIMMA yametolewa jioni ya Jumatatu.

MAJINA YA WASHINDI WA MTV MAMA NA WASHINDI WAKE

 
Haya ndio majina ya washiriki wa tuzo za mtv mama na washindi wake.