Monday, 30 November 2015
Sunday, 29 November 2015
Thursday, 26 November 2015
MATONYA:-VIDEO YA JELA ITAFANYIKA TANZANIA | SIKILIZA FULL INTERVIEW
Msanii mkongwe kwenye muziki wa Tanzania "Bongo Flavour" Matonya leo ameachia rasmi kazi yake mpya inaitwa "Jela"
Wednesday, 25 November 2015
DJ NAS (IRINGA BOY) AELEZA SABABU ZA NYIMBO ZAKE KUWA NA MAJINA YA MAKABILA YA MIKOA YA KUSINI
Msanii wa Hip Hop Kutoka Mkoani Iringa Dj Nas a.k.a Iringa Boy ameachia Video ya Wimbo wake Mpya "Wakunyumba" aliyowashirikisha Chibow na Mr T ambaye ndiye producer wa hit single hiyo.
Tuesday, 24 November 2015
kionjo cha video mpya ya Kassim Mganga ‘Subira’
Wednesday, 18 November 2015
Monday, 16 November 2015
New Video: Avril x AY - No Stress
Muimbaji Avril kutoka Kenya alikuja Tanzania mwezi September kwa
lengo la kufanya media tour, na kuungana na Ben Pol kuzindua wimbo
mpya ‘Ningefanyeje’ waliofanya pamoja. Kingine alikuja kushoot video ya
wimbo wake mpya ‘No Stress’ aliomshirikisha AY.

Jumamosi iliyopita Avril alizindua video hiyo jijini Nairobi ambapo ilioneshwa kwa mara ya kwanza kabla ya kuwekwa kwenye mtandao wa Youtube.
Jumamosi iliyopita Avril alizindua video hiyo jijini Nairobi ambapo ilioneshwa kwa mara ya kwanza kabla ya kuwekwa kwenye mtandao wa Youtube.
Sunday, 15 November 2015
DIAMOND PLATNUMZ AENDELEA KUNG'ARA KWENYE TUZO AFRIKA | TAZAMA ORODHA YA WASHINDI WA TUZO ZA AFRIMA 2015
It was a phenomenal night for all music lovers across Africa as the
International Committee of All Africa Music Awards, AFRIMA, in
partnership with African Union Commission, AUC, held the 2015 edition of
the All Africa Music Awards (AFRIMA) at Eko Hotel and Suites in Lagos,
Nigeria.

Here is the list of last Night’s winners:
ARTIST OF THE YEAR
Diamond Platnumz
Here is the list of last Night’s winners:
ARTIST OF THE YEAR
Diamond Platnumz
D’Banj, Femi Kuti & More Feature on Seyi Shay’s “Seyi or Shay” Album | View Tracklist
Check on it below!
PICHA:-MSANII JUX AINGIZA SOKONI NGUO ZENYE BRAND YAKE '‘AFRICAN BOY'’
Pamoja na kuonesha kitita cha $50,000 ambazo ni takriban shilingi
milioni 100 kwenye Instagram hivi karibuni, Jux hapunguzi speed za
kuchase papers.

Lollipop aeleza kwanini haimbi muziki wa Bongo fleva licha ya kuwaandikia hits wasanii wengine
Mwandishi wa nyimbo pamoja na mtayarishaji wa muziki Lollipop ametoa sababu za kwanini yeye anaimba muziki wa gospel na si Bongo Fleva, licha ya kuwa ameshawaandikia hits wasanii wengine wanaofanya Bongo fleva.







































