0
Pamoja na kuonekana kama kiki tu, habari za pambano la ngumi kati ya Chris Brown na Soulja Boy linaonekana kupewa uzito na kila siku habari mpya inajitokeza.
Baada ya kudaiwa kuwa pambano hilo litafanyika Dubai, muimbaji mahiri, Kelly Price ametajwa kuimba wimbo wa taifa kabla ya pambano hilo. Taarifa hizo zimetolewa na 50 Cent aliyeandika kwenye Instagram, “@mskellyprice is set to sing the National anthem at the fight Chris vs. Soulja. #thefightstillon.

Naye Kelly alithibitisha kwa kuandika: Looking forward to singing the national anthem on fight night with @souljaboy and @chrisbrownofficial Thank you @50cent for trusting me with this! .”

Post a Comment

 
Top