
Baada ya juzi usiku Nuhu Mziwanda kupost picha hiyo kwenye ukurasa wake mtandaoni mashabiki walionyesha kutofurahishwa na kitendo hicho na wengihne kufikia hatua ya kutukana huku wengine wakidai kuwa amemdharirisha mp3nzi wake huyo ambae ni mama wa watoto wawili.
"Naomba niombe radhi kwa waliochukizwa na picha niliopost usiku wa jana.Lakini naweza sema pia ile ilikuwa ni video yangu mpya ya wimbo wangu wa Zimataa.So ilikuwa ni promotion picture.Ila mwisho wa maneno yangu ni kuomba radhi kwa lililotokea."-Mziwanda aliandika.
Nadhani “Promo” wameipata.
Post a Comment