Diamond alikuwa akichuana na nguli wengine wa muziki kutoka Kenya, Uganda na Rwanda.
“Thank you so much Uganda / Hipipo Awards for this Awards, it means alot to me.. i will always make sure that i work hard and give my East and Africa proud…..S/O to my boy Tom Lee, and all team @wcb_wasafi #East_Africa_Super_Hit #JusWokeuplikeDat,” ameandika Diamond.
Hizi ndio nyimbo zilizokuwa zikiwania kipengele cha wimbo bora wa Afrika Mashariki:
• Tayali – Urban Boys Ft Iyanya
• Sitya Loss – Eddy Kenzo
• Ndagushima – Ommy Dimpoz
• Number One – Diamond Platnumz
• Nishike (Touch Me) – Sauti Sol
• Love You Everyday – Bebe Cool
• Kioo – Jaguar
• Baramushaka – Knowless
Katika tuzo hizo, Bebe Cool ndiye aliyeibuka na tuzo nyingi zaidi ikiwemo ya msanii bora wa mwaka. Muimbaji huyo ameshinda tuzo sita.
Post a Comment