“Video tunafanya mwezi huu na Mungu akipenda nitaiachia mwezi huu mwishoni na itafanyika Tanga,” alisema.
“Mwanzo tulikuwa na presha ya kwenda kuifanya nje ya nchi lakini baadaye wadau na marafiki walitoa mawazo yao kuwa tuifanye tu hapa hapa maana ni wimbo ambao una mahadhi ya kinyumbani zaidi pia una midundo ya asili ya pwani. Ni wimbo ambao unahitaji uoneshe maudhui ndio tukaona ifanyike Tanga,” aliongeza.
Post a Comment