“Bado naendelea kuchajisha collabo lakini sasa hivi sitafanya collabo nyingi sana,” amesema. “Sometimes unajua ukifanya collabo nyingi unawachosha mashabiki wako. Kama mimi nimeshafanya nyingi, kwahiyo sasa hivi kuna kazi nitakuwa naangalia za kufanya na zingine zitafanya kwa sababu collabo zimekuwa nyingi sana kama naona watu wametosha hivi na collabo.”
No comments:
Post a Comment