Meneja huyo alisema kuwa Nelly anaweza kuwa rapper wa kwanza wa Marekani kufanya hivyo.
Rapper Nelly kutoa album ya muziki wa country
Rapper Nelly anatarajia kutoa album ya muziki wa country.
Kwenye mahojiano na Billboard, meneja wa Nelly, J. Erving alisema kuwa Nelly hayupo tena kwenye label ya Universal na anajiandaa na album ya country iitwayo Heartland.
Meneja huyo alisema kuwa Nelly anaweza kuwa rapper wa kwanza wa Marekani kufanya hivyo.
Meneja huyo alisema kuwa Nelly anaweza kuwa rapper wa kwanza wa Marekani kufanya hivyo.
Post a Comment