kuzindua albamu ya msanii berdon mnyama iendayo kwa jina la "Jionee",iliyo sapotiwa na media mbali mbali ikiwemo vituo vya radio zote za jiji la mbeya sambamba na Michuzi Media Group.picha na Fadhiri Atick (Mr.Pengo) globu ya jamii Mbeya.
Willium ottuck akifanya show ya live deja vu.
Meneja vipindi wa bomba fm chris bee akitoa shukrani.
Director toka mashada inc chris7 in da house.
Perfomance ikiendelea berdon mnya ft petronia wakifanya bonge la show la wimbo wao wa leo leo.
Msanii nolesy akicheza na mic akiperfom ngoma yake ya nikumiliki pamoja na kalindwana.
Zax 4 real akifanya yake kwa mic
Wakuitwa cathe da hot kutoka 90.7 sweet fm mbeya.
Warembo wakiwa makini zaidi.
Hussen melody mkali wa miduara mbeya.
Wasanii wako makini macho mbele like shwary kushoto na anno melody.
Wasanii katika pozi d twaice na clanrence.
Mh Shambwe shitambala akionyesha cheti alichokabidhiwa
Kati kati msanii wa style ya rock willium ottuck hapa sasa fettydesantoz a.k.a mama dee
Wadau wakifurahia party hii.
Meza kuu hapa zzax 4 real
Msanii wa kike wakuitwa Dranuel akipiga show ya wimbo wake wa wewe.
Producer kona in da house akiwa ametulia
Mwenye kapero ni producer van cigger katika pozi akiwa na dj obama
Wasanii wakipafom kushoto clanrence kati kati d twaice na kulia anaitwa producer tino mafia
Chris bee toka bomba fm 104.0 mbeya katika pozi
Kushoto muwakilishi wa studio za green record nolesy,anaefuata petroni na mwenye kofia ni pr16 kutoka 92.7 highlands fm
Msanii wa tasnia ya movie akitoa shukran zake
hivi ndivyo ilivyo kuwa.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.