“Nimesitisha kwa muda kazi ya utangazaji ili kupa muziki kipaumbele. Mimi ni msanii kwanza. I just do music,” Vanessa alimweleza mtangazaji wa kipindi hicho, Willy M Tuva.
“Kwa sababu ya kuwa na show nyingi nje ya Dar es Salaam na kushoot video nyingi katika nchi za nje, niliona ni kama nilikuwa nawakwaza mabosi wangu,” aliongeza.
Katika hatua nyingine Vanessa alisema ameshafanya kazi na wasanii wa Kenya Juliani, Sauti Sol na Victoria Kimani.
Post a Comment