Maya Mia ni msanii wa make-up anayeishi Mbezi Beach, Dar es Salaam tangu mwaka 2005. Ana followers milioni 1.6 kwenye mtandao wa Instagram
Ukimtoa Lupita Nyong’o anayetokea nchini Kenya ambaye kwa sasa makazi yake yamehamia Marekani na mwenye followers milioni 1.7, ni Davido ndiye aliyekuwa staa wa kwanza wa Afrika kuwa na followers milioni moja akifuatiwa na Wizkid.
Post a Comment