Diamond ambaye pia ni mshindi wa kipengele cha ‘Best African Act’ kwenye tuzo hizo, alikuwa akichuana na mwigizaji na mwanamuziki maarufu wa India, Priyanka Chopra aliyewahi kuwa pia Miss World mwaka 2000.
Ushindi wa Diamond ni mkubwa kwasababu hakuwa anaiwakilisha Tanzania pekee, bali bara zima la Afrika.
Hawa ni washindi wa miaka iliyopita wa kipengele alichoshinda Diamond mwaka huu:
2011 – Abdelfattah Grini (Morocco)
2012 – Ahmed Soultan (Morocco)
2013 – Ahmed Soultan (Morocco)
2014 – Mohammed Assaf (Palestina)
No comments:
Post a Comment