0
 

Jina Lake Kamili Anaitwa Petronia Yahaya Mfaume ni Mwanafunzi wa Chuo cha
Uhasibu(TANZANIA INSTITUTE OF ACCAUNT) Compus ya Mbeya Mwenye Umri wa Miaka Ishirini(20) ni Mtoto wa Pili Katika Familia ya Mzee Yahaya Mfaume Yenye Watoto Watatu(3) Akiwa Wakike Pekee kama Zawadi kwa Wazazi Wake na Kaka Yake Pia Mungu Amewajalia Kipaji Katika Familia yao Kaka yake pia ni Mwanamziki wa Kizazi Kipya.

Petronia Kati ya Model/Video Queen Ambao kwa Sasa Mbeya Anashika namba Moja Kuonekana Katika Video nyingi Zaidi Baadhi ya Video Alizocheza Subira ya Moyo>Ammy Chiba,Shika Moyo>Langa,Come Closer G4,Acha Kunidharau>Zax B ft Melina,Jicho la Tatu>Siple K,Tutambae>Bzq,Naringa Nae>Abby Stlye na Zingine Nyingi Ambazo bado Hazijatoka Rasmi.

Petronia a.k.a Pettyga Kwa Sasa Amesema Yuko Mbioni Kufungua Kampui yake ya Mavazi Hili Kuweza Kujiajiri Mwenyewe.
Kwa Muda huu Nipo Chini ya Menejimenti ya RAK STUDIO Amayo Inasimamiwa na Directa F2K(Friday Kyando) i promise Mwaka Huu Nitafanya Vizuri Zaidi ya Mwaka Jana na Isitoshe Nakuja na Wimbo Wangu Mwenyewe Ambao Nitakuja Tambulisha Rasmi Ikiwa Katika Hatua za Mwisho.


Baadhi ya picha za Model/Video Queen Akiwa Katika Pozi Tofauti Ndani ya Jiji la Mbeya.








Na Huu Ndio Wimbo wa Kaka Yake Model/Video Queen Huyu Kaka yake Anaitwa Noris

Post a Comment

 
Top