0
Aliyewahi kuwa mtangazaji wa EATV, Teddy Kalonga aka TK, amepata uraia wa Marekani.
10948974_859056604152973_230382858_n
Teddy aliyeolewa nchini humo na ambaye ni mama wa watoto wawili amekuwa akiishi nchini humo kwa miaka kadhaa sasa lakini akiwa kama raia wa kigeni.

10914650_1530384793895349_1115202730_n
“Omg ! #newUScitizen #maisha-popote-roho-ilipotulia,” ameandika Teddy ambaye pia ni mwanamitindo kwenye picha hiyo juu aliyoipost Instagram.
10948485_895287790515267_1307709505_n

Post a Comment

 
Top