Breezy ameshare habari hiyo kupitia Twitter kwa kuandika “IM OFF PROBATION!!!!!!!! Thank the Lord!!!!!!”
Staa huyo wa hit single ya ‘Loyal’ alikuwa akikabiliwa na kesi ya kumshambulia Rihanna Feb. 8, 2009 ambapo baada ya kukutwa na hatia alikubali kufanya kazi za jamii ili kukwepa kwenda jela.
Post a Comment