
Hapa ndipo leo masaa matano tu yaliyopita team michepuko imejidhihirisha jamaa mkali wa tupogo atazidi sana kuwepogo kwenye love na watoto wazuri hasa kutoka na katabia chake cha kutokua serious kama dangote "chibu" ambaye aki focus kwenye mapenzi ana focus kweli!! mara baada ya kupost kitu hichi: "Girls! Don't let your PRIDE and Society make you die single... DM(date me) me if u like me"
sasa hapa ndipo wadakuzi wa michepuko walipojiuliza ina maana jamaa bado anafikiria kiki za kitoto za dezaini hizi kwa nini pamoja na taito kubwa alilonalo bado analeta zileeee za miaka ya 80 eti namnukuu "Mabinti usiache jamii au matukio ya kimahusiano uliyonayo yakakuacha ufe ukiwa single tongozwa na mimi kama unataka"
tazama post hiyo:

Pamoja na hicho mabinti wameendelea kuonyesha wanaguswa na ujumbe wa dimpozi na wana ufurahia.
Post a Comment