0
Kim Kardashian. MADAKTARI wamemuonya mwanadada Kim Kardashian kuacha tabia yake ya kufanya mapenzi mara nyingi kwa kuwa ni hatari kwa afya yake.



 


Kanye na mkewe Kim. Mrembo huyo ambaye ni mke wa mwanamuziki Kanye West alikiri katika sehemu ya 10 ya kipindi chao cha familia kinachoruka runingani kuwa yeye na mumewe wanafanya mapenzi mara 15 kwa siku wakijaribu kupata mtoto mwingine.
Wanandoa hao tayari wana mtoto mwenye miezi 20 aitwaye North West na sasa wanataka kupata mdogo wake.


 

Kwa mujibu wa kituo cha E!News, Kim ameeleza kuwa madaktari wamemshauri kupunguza tabia yake hiyo ya kufanya mapenzi mara nyingi kwani siyo suluhisho la kushika mimba.

Mrembo huyo anashangaa kwa nini watu wasiohitaji kupata watoto ndiyo hupata mimba haraka.


"Wasichana wa kati ya miaka 13-19 hupata mimba ndani ya sekunde. Inashangaza. Kama huitaji kupata ujauzito, ndipo unashika mimba." alitania Kim

Post a Comment

 
Top