0
First lady, Zari the Bosslady ametua rasmi kwenye nyumba mpya ya Diamond Platnumz ambayo yeye mwenyewe anaiita ‘state house’
Zari amepost picha hii kwenye Instagram akiwa kwenye chumba cha kulala kwenye nyumba mpya ya Diamond


Mama kijacho huyo amepost picha akiwa kwenye chumba cha Diamond kilichopo kwenye nyumba hiyo iliyopambwa kwa vitu vingi vya thamani.

Gypsum ya chumba hicho kipo customised kwa jina lake.

“Gotta love my current view,” aliandika Zari kwenye picha inayoonesha gypsum hiyo.

Post a Comment

 
Top