Hata hivyo huyu si mshindani unayeweza kumdhania ni rapper! November mwaka 2012, Waka Flocka Flame alitweet: I’m dead ass running for president in 2016.” Na sasa amethibitisha kuwa hakuwa anatania.
Jumatatu hii, rapper huyo amezungumza na Rolling Stone kuelezea nia yake ya kuwa mgombea wa urais wa Marekani mwakani. Mgombea wake mwenza amemtaja kuwa ni DJ Whoo Kid.
Akiwa rais, Waka amesema jambo la kwanza atakalofanya ni kuhalalisha bangi!
Post a Comment