Manunuzi hayo ni kupitia Project Panther Bidco, inayomilikiwa na kampuni ya Jay Z iitwayo S. Carter Enterprises.
Dili hiyo bado haijakamilika lakini baada ya kuinunua, Jay Z anataka kuipanua zaidi kutoka nchi za Scandanavia hadi kuwa kampuni ya dunia nzima.
Wengi wanadhani kuwa lengo la kuinunua kampuni hiyo ni kuwa mshindani wa Spotify.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.