“Unajua mimi ni comedian sana yaani,” alisema. “Unaweza kukuta nina marafiki wengine wengi tofauti na wanamuziki kwa sababu tu ya vituko vyangu. Sometimes jamaa anakupigia simu ‘ibuka maskani’ ili umchekeshe tu sababu anajua ukifika pale atacheka sana.”
Katika hatua nyingine Ommy aliwataka mashabiki wake kutomjaji kwa vile wanavyomuona kwenye mitandao bali waangalie maisha yake halisi.
Post a Comment