“Nilitarajia zifike hapo zilipofika, kwahiyo ni ngazi ambayo mimi nimetengeneza hii ifike hapa na hii ifike pale and then kama sio kesho au Jumatatu naachia ngoma ambayo nategemea itafika kule ninakohitaji ifike,” amesema.
“Kwahiyo kila kazi ninayoitoa nina lengo nataka ifike wapi. Ndio maana nikasema Almas na Simama zimefika sehemu ambayo nilikuwa nahitaji zifike, tofauti na watu wanavyofikiria. Na nilivyotoa Basi Nenda nilitegemea ifike hapo ilipofika.”
Post a Comment