“Kiukweli toka mwaka jana mambo yanaenda vizuri sana sio kwenye kuproduce tu, hata muziki hali sio mbaya, zinafanya vizuri,” amesema.
“Lakini kwa sasa nikiwa kama producer inanilipa zaidi sio hapa tu hata kimataifa nimepata mwaliko wa kwenda Coke Studio kama producer kwahiyo unaona ni jinsi gani tayari watu wameelewa kazi zangu,”
Post a Comment