Kama si kumwona kama ‘mwanaume wa ndoto yake’, kuna dalili kuwa huenda mrembo huyo akawa na uhusiano na msanii na producer wa Nigeria, Tekno Miles.
Tekno Miles
Ukiangalia ukurasa wake wa Instagram utaona kwenye picha yake ya profile ameweka picha ya Tekno Miles lakini pia jina lake amelibadilisha kuwa ‘Didimiles’ hivyo kuna uwezekano mkubwa wawili hao wakawa ‘item’.
Siku wakiamua kuuweka wazi uhusiano wao tutajua!
Tekno Miles ni msanii aliyepewa jina la Chris Brown wa Nigeria kutokana na uimbaji wao kufanana na alizaliwa kwa jina la Augustin Miles.
Post a Comment