“Baada ya video ya Vitamin Music, mashabiki wa muziki wangu wameonyesha kuchoshwa na ukimya wangu, wanasema ‘mbona unakaa kimya sana bila kutoa ngoma! Yaani kukaa muda mrefu bila kutoa ngoma wakati wasanii wengine wanatoa mpaka ngoma sita wanajisikia vibaya,” amesema.
“Sasa nimegundua mashabiki wanakuwa disappointed ndio maana licha ya kuachia video ya Vitamin Music, nimeachia ‘Shauri Zao’ ili kukata kiu zaidi kwa mashabiki wangu ambao wamechoshwa na ukimya.”
Post a Comment