Baada ya kushoot video ya wimbo mpya wa Diamond Platnumz na Khadija Kopa wiki hii, Hanscana amepost picha kadhaa akiringishia vibunda vya noti za elfu kumi kumi na kuandika:
“@naytrueboy alinambia “Inabidi tupige hela ili wajinga watuchukie”
“Usingizi sinaaaa Agh bora nifanye maushamba ushamba tu”
“Sitodharau masela kwa Pesa Mbuzi ya mchele”
Post a Comment