0

Mbali na wawili hao kufanya collabo ya pamoja kwenye ngoma ya

Jaguar mwenyewe iitwayo "One centimeter rmx" akiwa amemshirikisha Iyanya kutoka Nigeria waliingia kwenye utata baada tu ya kutoa ngoma yao hiyo.

Utata huo ulianza baaada ya kusambaa kwa video hiyo ambapo Jaguar alitaka ifike kimataifa lakini hakuonesha juhudi zozote za kui-push video hiyo.

Iyanya alisema kwamba Jaguar ni mvivu wa kusukuma ngoma zake zifike kimataifa kama wengine wanavyofanya. 
Pia alisema Iyanya nimefanya collaboz na Diamond na Sauti soul lakini wao ndio wanao push ngoma zao kufika vituo mbali mbali lakini kwake Jaguar hafanyi hvyo kwani amekua akitegemea mimi ndio nifanye hivyo.

Post a Comment

 
Top