AKOTHEE: MSANII WA KENYA ALIYEPITIA UDEREVA MA3/TAXI HADI KUMILIKI KAMPUNI YA TOUR NA NYUMBA ZA KUPANGA (VIDEO)
Hivi karibuni Akothee alimake headlines baada ya kutumia kiasi kikubwa cha fedha kusherehekea Valentine’s Day.
Muimbaji na mfanyabiashara huyo wa Mombasa alikodi gari ndefu ya Limousine kwa masaa matano ambapo kila saa alilipa shilingi 40,000 za Kenya.
Post a Comment