“Inabidi kwenda mwenyewe ili msanii anajua kabisa akiwa anamhitaji mtu anamfuata mwenyewe,” amesema. “Hapo unakuwa unajua pakuanzia na pakuishia.”
“Menejimenti ikikuacha unabaki hujui wapi pakuanzia and you career is finished. Na watu wengi walioanguka ni wale ambao walikuwa wakitegemea kufanyiwa kila kitu, inabidi kujitegemea mwenyewe.”
Msanii huyo amesema kwa kipindi chote amekuwa akisimamia kila kazi inayohusiana na muziki wake japo amemtaja Marco Chali kama mtu ambaye amekuwa naye karibu hasa katika masuala ya kurekodi.
Post a Comment