
“Ile kampuni ya Japan wamekataa kutumia picha tulizowatumia, wamesema hazina ubora sijui tumetuma kwa njia ya mtandao. Lakini wananipa ofa ya kwenda kufanya video mbili na audio huko huko Japan, wao wameniambia niende mwezi wa sita, kwahiyo najiandaa mwezi wa sita niende. Itakuwa kazi mpya kabisa ambazo watu hawajaziona,” alisema rapper huyo.
Post a Comment