Usiku wa jionee katika uzinduzi wa albamu ya msanii machachari katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya afaamikae kwa jina la Berdon Mnyama juu pichani
hivi karibuni katika uzinduzi wa albamu yake iendayo kwa jina la jionee, shoo nzima ilisimamishwa vyema na Radio station zote za jiji la Mbeya ikiwemo Mbeya fm, Sweet Fm, Bomba Fm, Lock Fm, Highland Fm, Dreem Fm na zingine nyingi sambamba mh.Sambee Shitambala na Michuzi Media Group.Picha Zote na Mr.Pengo.
MENEJA WA BOMBA FM MBEYA MR FREDY ALBERT
SOUT FROM EAST WAKIFANYA SHOW KALI.
HIVI NDIVYO ILIVYO KUWA NA JINSI ILIVYO FANA NDANI YA NASOMA LOGE MAMA JOHN JIJINI MBEYA.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.