Wakiwa wanaimba pamoja Bieber alimkumbatia na kumshika kimahaba Ariana kama couple, kiasi cha kumfanya Big Sean apatwe na wivu na kushindwa kuvumilia. Inasemekana kuwa Sean alitumia Twitter kumchimba mkwara Bieber kwa kuandika, “huyu mtoto anatakiwa ajifunze kutomshika hivyo msichana wangu”, tweet ambayo inaaminika baadaye ilifutwa.
Hata hivyo vyanzo vingine viliuambia mtandao wa TMZ kuwa tweet hiyo ilikuwa feki.
Post a Comment