0
Muongozaji wa video, Godfather kutoka Afrika Kusini ambaye ameshafanya kazi na wasanii wengi wa Tanzania wakiwemo Diamond, Ommy Dimpoz, Alikiba, Linah na wengine, anatarajia kufanya ziara ya Afrika mashariki akiwa na crew yake.
Katika ziara hiyo ya siku saba itakayoanza mwisho wa mwezi huu wa nne, Godfather amesema atakuwa tayari kufanya video na wasanii wa huku.

Kupitia Instagram amepost picha akiwa anapanda private jet na kuandika:
“About to start our East African Tour from the end of April for 7days with the crew. Music videos are allowed.”


Post a Comment

 
Top