“Ngoma imeelezea mambo mengi kuhusu maisha kama jina linavyojieleza imeshakamilika kila kitu nitaitambulisha hivi karibuni kwenye kipindi cha xxl,”alisema Lord Eyez.
Mwaka jana (2014) Ray C alionesha nia ya kutaka kumsaidia Lord Eyez kwa kumshauri abadili mwenendo wa maisha yake na aachane na matumizi ya dawa za kulevya yaliyokuwa yakimsababisha rapper huyo kuingia kwenye majanga kila mara, pia alimkaribisha kutumia tiba ya Methadone (Ingia hapa).
Post a Comment