“Napenda sana harakati za siasa, nimeshawahi kufikiria lakini bado sikupata jibu sahihi,” amesema. “Kwahiyo sasa hivi siwezi kusema nipo tayari ama vipi. Lakini nikiwa tayari nitaweka wazi kila kitu. Mimi ni mwana-CCM damu kabisa nimekunywa maji ya bendera.”
Miongoni mwa wasanii watakaogombea ubunge mwaka huu ni pamoja na Profesa Jay na Afande Selle.
Post a Comment