Khan alikuwa akijitetea kuwa ni dereva wake ndiye aliyekuwa kwenye usukani lakini jaji alisema muigizaji huyo alikuwa akiendesha gari mwenyewe na alikuwa amelewa.
Wataalam wa sheria wanaamini kuwa muigizaji huyo atakata rufaa.
Mawakili wa Khan wamekwisha omba dhamana kwa mahakama kuu ya Bombay ambayo itaisikiliza kesi hiyo.
Khan ni muigizaji wa kiume mwenye mafanikio sana nchini India na ameigiza filamu kama Dabangg, Ready, Bodyguard, Ek Tha Tiger, Maine Pyar Kiya na Hum Aap Ke Hain Kaun.
Post a Comment