“Nimeshafanya kazi na Runtown, this time Wizkid na D’Banj ni watu ambao niko kwenye process hizo kuhakikisha ndo mtu ambaye atakayefata kufanya naye.” Alisema Nay kupitia The Sporah Show.
Alipoulizwa kuhusu wasanii wa Tanzania kuiga muziki wa Nigeria:
“Muziki wetu kama umekuwa sasa tunashare vitu flani. Biashara ndio inatupeleka huko, no wayout inamaana ukipingana nayo utakuwa nje ya mstari tukubali tukatae, biashara ndo iko hivyo ikibadilika tutabadilika.”
Post a Comment