“Unajua Wakenya wamekuwa wakisema mimi ni Mkikuyu, wanadai natakiwa nikaishi nchini kwao wanajua mi ni Mkikuyu ila nawaeleza ukweli ni kwamba naipenda Kenya, lakini mimi ni Mtanzania na daima nitaipenda nchi yangu,” alisema Jaydee.
Katika hatua nyingine Lady Jaydee anajiandaa kushirikiana kwa mara nyingine na msanii wa mwenye asili ya Burundi, Kidum.
Post a Comment