“Video tumemaliza jana, imeenda poa na November inatoka audio na video, kwahiyo sasa hivi mashabiki wasubirie mambo mazuri yanakuja,”
Christian Bella na Alikiba wamaliza kushoot video ya ‘Nagharamia’ South
Christian Bella na Alikiba waliopo nchini Afrika Kusini, wamekamilisha ku-shoot video ya wimbo wao ‘Nagharamia.’
Bella amesema kuwa kazi hiyo ilienda kama walivyopanga.
“Video tumemaliza jana, imeenda poa na November inatoka audio na video, kwahiyo sasa hivi mashabiki wasubirie mambo mazuri yanakuja,”
“Video tumemaliza jana, imeenda poa na November inatoka audio na video, kwahiyo sasa hivi mashabiki wasubirie mambo mazuri yanakuja,”
Post a Comment