Davido aliahidi kuwa album yake mpya ‘Baddest’ ingetoka mwezi wa 10 baada ya kuahirisha mara kadhaa, na Wizkid naye alipanga ingetoka September lakini baadae alisogeza hadi mwakani (2016) na kumuacha Davido aliyekuwa bado na mpango wa kuitoa mwaka huu.
Mwakilishi wa label yake ya HKN amesema kuwa Davido amelazimika kusogeza mbele kuachia album yake hadi mwakani kutokana na changamoto za ‘logistics’ wanazokumbana nazo kwenye label yake kwa sasa.
Post a Comment