Mkali huyo wa Phone amefananisha kitendo hicho kama kujenga nyumba yako inaisha halafu baadaye anatokea mtu anasema nyumba ni yake. Alipoulizwa kwanini Sappy kaamua kufanya hivyo Ben Pol amesema, “Labda anataka aonekane, afanye kazi ataonekana haina haja ya kutengeneza drama.”
Kwa upande mwingine, Ben Pol amesema tarajia album kutoka kwake ambayo itatoka mwezi ujao (February) ikiwa na ngoma 12 ikiwepo Moyo Mashine Remix ft Chidnma, Phone ft Mr Eazi, Natuliza Boli, Bozimba ft Chidnma n.k.
Post a Comment