Mkurugenzi wa kituo hicho, Asan Nyama amesema kuwa wamefanya uamuzi huo ili kuungana na Waafrika kutoka nchi zingine waliokumbwa na vurugu hizo jijini Durban, Afrika Kusini.
Nyama amesema kuwa QFM imesikitishwa na vifo vya watu watano wa mataifa ya nje waliopoteza Maisha baada ya kushambuliwa na wananchi wa Afika Kusini. Mkurugenzi huyo amesisitiza umuhimu wa raia wa nchi mbalimbali Afrika kuishi Kama ndugu na kuomba serikali ya Afrika Kusini kukabiliana na unyama huo.
Chanzo: Mseto EA
Post a Comment