“Nimeanza kufanya events kupitia clubs nia ikiwa ni kutengeneza events company yenye entertainment zaidi kwa vijana,” amesema.
“Baada ya kufanikiwa kupitia divas wild events kwa muda nikakaa kutaka kumleta msanii anayependwa na vijana hasa Tanzania, chaguo likaangukia kwa Alicios.”
Mtangazaji huyo amedai kuwa tarehe na mahali itakapofanyika show hiyo atavitaja siku chache zijazo.
Hivi karibuni Alicios aliachia wimbo mpya uitwao Loved by You.
Post a Comment