“Nitamzalia watoto wawili, nina wawili,” alisema Shilole aliyeongeza na mchumba wake huyo kwenye kipindi hicho kinachorushwa TBC1. Shilole amesema kuwa kadri siku zivyonaenda anazidi kumpenda zaidi Nuh kutokana na mapenzi anayomwonyesha.
Mwaka jana Nuh alimvisha pete mchumba wake huyo.
Post a Comment