“Mwanzo palikuwa na kaugumu kidogo kufanya wote kazi si unajua tena mkiwa studio tofauti na mkiwa nyumbani lakini mambo yakaenda sawa. Pia kuna kazi nyingine itakuja ambayo tuko pamoja,” ameongeza Amini.
“Wimbo ujumbe wake nadhani unajielezea vizuri tu ukisikiliza na hii ni kwa wote ambao wanapendana na wana true love ya ukweli. Na pia nimepata simu kutoka nje ya nchi kama Nigeria pia kuna baadhi ya redio wanaucheza na club na UK.”
Post a Comment