Rapper wa Tamaduni Muzik, Azma Mponda yupo nchini Kenya alikoenda kurekodi ngoma.
Akiongea na kipindi cha Mambo Mseto cha Radio Citizen jijini Nairobi, Azma amedai kuwa amerekodi ngoma kadhaa kwenye studio za Mandugu Digital na amewashirikisha maheavyweight rappers wa nchini humo.
“Nimefanya kazi na Candy, nimefanya kazi na Singer Babz, nimefanya kazi na Khaligraph na nipo nafanya kazi na kaka mkubwa Abbas Kubaff,” amesema rapper huyo.
Home
»
Entertainment
»
teaser
»
VIDEO
» Azma Mponda arekodi ngoma na rappers wa Kenya, Khaligraph na Abbas Kubaff
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment