Bieber amedai kuwa mabadiliko katika namna anavyoishi kufuatia kuhusika kwenye vitendo vingi vya utovu wa nidhamu siku za nyuma, yatasikika kwenye muziki wake.
“Muelekeo wangu wote umebadilika. Kile unachofikiria muda wote ndicho unachoandika na sasa kwakuwa nafikiria mambo chanya zaidi, kimebadilisha muziki wangu.”
Bieber amesema album yake ilikuwa imekamilika lakini aliamua kuirekodi upya kwendana na maisha yake ya sasa.
Post a Comment