Akiongea kwenye kipindi cha Ng’ari Ng’ari cha Clouds TV, Mzee Yusuf alisema huenda akamshirikisha Diamond kwenye wimbo uitwao ‘Kikulacho’.
Katika hatua nyingine, Mzee Yusuf alisema nyimbo zake zitakazokuwepo kwenye album yake ijayo zitakuwa na si zaidi ya dakika 5.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.