“Jana tumesherehekea siku ya kuzaliwa mimi na mpenzi wangu Halimaty. Lakini kikubwa zaidi ni kusherehekea siku ya kuzaliwa na mtu ambaye unampenda toka moyoni na toka ninaanza muziki mpaka leo nipo naye,” amesema Killer.
“Hili ni jambo la furaha sana. Masuala ya ndoa bado ingawa kila kitu kinawezekana/ Kuna vitu nahitaji kujipanga zaidi ili kukabiliana na ndoa.”
Post a Comment