Akiongea kwenye kipindi cha Harakati cha Clouds TV kinachoendeshwa na Kalapina, Chief alisema TID ni msanii mwenye uwezo mkubwa hivyo ni muhimu kwa watu kumshawishi kuachana na matumizi ya dawa hizo kama yeye alivyofanikiwa kuacha.
TID ni Q-Chief waliwahi kuwa maswahiba wa muda mrefu na walikuwa pamoja kwenye Top Band japo walikuja kukosana. Hadi sasa hawaelewani na kauli hii ya Q-Chief inaweza ikawa ni mwiba kwa Top in Dar!
Post a Comment